A

A

Baadhi ya mitaa mbalimbali Dar es salaam baada ya mvua ya February 16.

19
Ingawa bado hakujatangazwa maafa yoyote mpaka sasa,lakini kwa uchache hii ndo
hali ilivyo mitaa mbalimbali ya hapa 88.5 Dar es salaam baada ya mvua ya asubuhi ya leo February 16,Mvua hii imenyesha sehemu kubwa sana ya jiji na kutoa usumbufu kwa baadhi ya watumiaji wa barabara za kwenda mjini.
10imepita baadhi ya mitaa kama Kariakoo,Posta,Karume na kushuhudia namna maji hayo yalivyokwama kwenye baadhi ya barabara,hizi ni baadhi ya picha hizo.
11
13
8
7
5
17
20
18


No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako