A

A

Baada ya kuonana na Waziri Mkuu,Hili ndilo walilozungumza wafanyabiashara wa Tanzania leo February 13.

2 
Kuhusu Suala la mashine za Efd bado linazidi kuchukua headline,taarifa ikufikie kuwa jana February 12 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Mizengo Pinda alikutana na viongozi wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania ambapo walikaa na kuzungumzia suala la Migomo hiyo.
3Sasa leo jumuiya hiyo ya wafanyabiashara hao wametoa tamko lao ambalo limesomwa na Makamu mwenyekiti wa Shirikisho hilo Mr. Patrick Masagati.
Bonyeza play kusikiliza alichokisema Makamo huyo Mwenyekiti.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako