A

A

Breaking Newz,hapa Kuna taarifa za Awali Kuhusu Mlipuko wa Bomu Arusha na kujeruhi wanakwaya

Taarifa ambazo zimetufikia kupitia kituo cha WAPO Radio FM zinaeleza kwamba kuna bomu limelipuliwa kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Ruanga huko USA River jijini Arusha, ambapo wanakwaya takriban 6 wamejeruhiwa. Kwa mujibu wa taarifa hizo, watuhumiwa ni jeshi la Polisi, na kwamba walirusha kitu kinachosadikiwa kuwa bomu - lililojeruhi 6, ambapo 4 kati yao wameruhusiwa baada ya matibabu kwenye hospitali ya Mission na ya Wilaya ya Arumeru.Endelea kusoma zaidi => http://bit.ly/JwRpks
Endelea kuwa nasi.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako