A

A

WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. LOWASSA AIVAMIA KUSINI ... AENDESHA HARAMBEE MASASI-MTWARA

EDWI0035
Mhe. Lowassa akihutubia Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza kabla ya kuongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara jana. Jumla y Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo. Kushoto ni Askofu wa Dayosisi ya Newala, Patrick Mwanachiko na Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Masasi, Oscar Mnung’u. Na Mpigapicha Wetu lowassa akihutubia 2
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza alipokuwa akiongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara jana. Jumla y Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo. Kushoto ni Askofu wa Dayosisi ya Newala, Patrick Mwanachiko na Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Masasi, Oscar Mnung’u. Nampigapicha Wetu
Rose Mhando akiimba
Rose Mhando akiimba Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Mhando akiimba katika Kanisa Kuu la Aglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika kanisani hapo juzi.
 
EDWI0173
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwaaga waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi baada ya kumaliza kuendesha harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la dayosisi hiyo, juzi. Jumla ya Sh103 milioni zilichangishwa katika harambee hiyo. Na Mpigapicha Wetu
Na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako