A

A

PICHA;YAW BERKO NA LUGARUSIC WAKISANI MKATABA MBELE YA HANS POPPE KUANZA KAZI SIMBA SC


 Yaw Berko akisaini mkataba mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya Usajili Zacharia Hans Poppe.
Golikipa wa zamani wa Yanga raia wa Ghana Yaw Berko amesaini mkataba wa miezi sita kuitumikia klabu ya Simba ya jijini Dar Es Salaam.

LOGARUSIC ASAINI MKATABA WA MIEZI SITA KUIFUDISHA SIMBA.


 LOGARUSIC akisaini mkataba mbele ya Mwenyekiti wa kamati ya usajili,Zacharia Hans Poppe

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako