A

A

Picha,Baada ya Kuondolewa Nyasi zote,Uwanja wa Sokoine Waanza kupandwa Nyasi

Ndugu mashabiki huu ndio muonekano wa Uwanja wa sokoine nyasi nzuri na laini zinaendelea kupandikizwa uongozi unawashukuru wote kwa ushirikiano mnaoutoa katika kukamilisha shughuli nzima tunasisitiza kuwa hakuna mechi itakayohamishwa mechi zote za mzunguko wa pili zitachezwa kwenye uwanja huu MUNGU awabariki sana.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako