Kikao muhimu sana cha Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akitoa maelezo juu ya
maendeleo ya sekta ya nishati kwa Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo
ya Afrika (AfDB) Ubou Sabaa (aliyeketi upande wa kulia). Lengo la kikao
hicho lilikuwa ni kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya sekta ya nishati
katika maeneo ya ulipaji kodi, mapato, ujenzi wa bomba la gesi ikiwa ni
pamoja na uboreshaji wa shirika la TANESCO. (picha: blogu ya Lukaza)
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako