MASHABIKI kadhaa wa Yanga leo wameshinda Uwanja wa Ndege wakisubiri
kumpokea Emanuel Okwi lakini hakutokea badala yake walijikuta wakimpokea
beki wa Simba Gibert Kaze.
Mashabiki hao walifika uwanjani hpo wakiwa na jezi iliyoandikwa jina la Okwi kwa ajili ya kumkabidhi lakini waliishia kuikunja na kurudi nayo baada ya mchezaji huyo kutokufika.
Mashabiki hao walifika uwanjani hpo wakiwa na jezi iliyoandikwa jina la Okwi kwa ajili ya kumkabidhi lakini waliishia kuikunja na kurudi nayo baada ya mchezaji huyo kutokufika.
BEKI WA SIMBA GILBERT KAZE ALIWASILI, NAKWEANDA MOJA KWA MOJA KAMBINI ZANZIBAR
Credit.lenzi ya michezo
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako