Kama una hii pesa unaweza kuishi kwenye hii nyumba ya Gareth Bale.
Mkali
huyu wa soka mwenye umri wa miaka 24 ambae ameihama Tottenham Hotspur
na kujiunga na Real Madrid hivyo ameamua kuiuza nyumba yake ya vyumba
vitano iliyopo Uingereza kwa £2.2million ili akaanze maisha mengine huko Madrid. Hii ndio ilikua sebule yake bwana Bale.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako