Kepteni wa timu ya Jumuiya ya Afrika akinyanyua Kombe la Mshindi wa tatu katika Netiboli.
Rais
Yoeri Kaguta Museveni akipiga danadana kabla ya pambano la Soka la
fainali kati ya timu ya Bunge la Uganda na timu ya Bunge la Jumuiya ya
Afrika Mashariki ambapo Uganda imeshinda kwa 3-0.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako