Mabaki ya damu yakiwa yametapakaa kwenye Kiberenge.
Pikipiki ambayo imegongwa na Kiberenge.
Kiberenge kikiwa kimeacha njia baada ya ajali.
Askari polisi akichukua maelezo kwa baadhi ya watu walioshuhudia ajali hiyo.
Wananchi wakiishangaa pikipiki katika eneo la tukio.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulikana mara moja akiwa
kwenye pikipiki yake leo mchana maeneo ya Banda la Ngozi, Ilala jijini
Dar es Salaam amegongwa na Kiberenge na kuvunjika mguu.
(PICHA NA ISSA MNALLY / GPL)
GPL
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako