A

A

WATEGA MAJI KUTOKA MILIMA YA ULUGURU




Baadhi ya wananchi wakiwemo wanawake wa  mtaa Matuli  uliopo Kata ya Bigwa, nje mji wa Morogoro , wakibeba  mabomba ya usambazaji  maji  ‘ na saruji ili kuvifikisha kwenye chanzo cha maji kilichopo juu ya  milima ya Uluguru, vifaa hivyo vilitolewa na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood,  ( kati kati ya akina mama ) .
( Picha na John Nditi).


No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako