A

A

MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR MH:ALI MOHAMED SHEIN HII LEO

Mh:Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkaribisha Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mh:Mwigulu Lameck Nchemba hii leo Ikulu-Zanzibar alipomtembelea kwaajili ya mazungumzo.
 Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi.Mh:Mwigulu Nchemba akifanya mazungumzo na Mh:Rais wa Zanzibar kabla ya kuanza ziara ya kikazi visiwani humo iliyolenga kukutana na vikosi vya jeshi la polisi,NIDA,Uhamiaji n.k.
Wakiagana mara baada ya Mazungumzo.
Picha/Maelezo na Festo Sanga Jr.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako