A

A

Tamko rasmi la Matokeo ya Uchaguzi DMV kutoka Kamati ya Uchaguzi

Kwa WanaDMV,
Inaelekea kumebakia suitafahamu au tafsiri fulani kuhusu matokeo ya uchaguzi wa DMV 2014 kufuatia takwimu za kura tulizotoa na kuwasilisha kwa bodi ya DMV. 
Tamko hili linaweka wazi mshindi katika kila nafasi iliyogombaniwa. Hivyo kwa mujibu wa matokeo ya kura na wa katiba, wafuatao ndiyo viongozi wapya wa jumuia yetu kwa miaka miwili ijayo:-

RAIS- Iddy Sandaly
RAIS- Iddy Sandaly
MAKAMU WA RAIS - Harriet Shangarai
MAKAMU WA RAIS - Harriette Shangarai

KATIBU- Saidi Mwamende
KATIBU- Saidi Mwamende
MAKAMU WA KATIBU- Bernadetta Kaiza
MAKAMU WA KATIBU- Bernadetta Kaiza
MWEKA HAZINA- Jasmine Rubama
MWEKA HAZINA- Jasmine Rubama

Tamko hili pia limefikisha Kamati ya Uchaguzi wa 2014 kwenye tamati yake.

Mungu ibariki DMV, na adumishe mshikamano imara wa Watanzania.”

Safari Ohumay
Mwenyekiti

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako