A

A

Robin Williams aaga dunia


Robin WIlliams enzi za uhai wake mwaka 2013 (picha: soulculture.com)

Aliyekuwa akiigiza vichekeso na kucheza sinema na filamu, Robin Williams ameaga dunia Jumatatu asubuhi akiwa na umri wa miaka 63 kwa kifo kinachoelezwa kuwa kilitokana na kujiziba pumzi na kujinyima hewa (asphyxiation). Imeelezwa kuwa kwa siku za hivi karibuni alikuwa akipambana na sonona (depression). Kwa taarifa zaidi bofya hapa.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako