Sexy lady Jokate Mwegelo amekanusha vikali kuhusiana na picha za utupu zilizozagaa mitandaoni hivi karibuni kuwa si zake.
Sexy lady Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi tofauti.
Akizungumzia ishu hiyo, Jokate ambaye
pia ni mwigizaji alisema kuna mitandao imeanzisha uvumi huo kwa kuweka
picha ya mtumwingine na kudai ni yeye.
“Mitandao
ya kijamii inakera sana. Kila mtu anaandika habari itakayowafanya watu
wafungue ‘blogi’ yake, siwezi kupiga picha ya utupu,” alisema Jokate