A

A

TAZAMA Picha ya jinsi kivuko cha Dar – Bagamoyo kitakavyokua....

kivuko
Nakumbuka Waziri wa ujenzi John Magufuli aliwahi kusema moja kati ya mbinu kubwa za kurahisisha miundombinu na kupunguza foleni kwenye jiji linaloongoza kwa kuwa na magari mengi Tanzania (Dar es salaam) ni kuanzisha kivuko ambacho kitakua na safar kati ya Dar na Bagamoyo.
Ni miongoni mwa mipango ambayo itatekelezwa ili kupunguza foleni lakini pia kurahisisha usafiri pamoja na kupunguza idadi ya ajali za barabarani ambazo zimekua zikitokea kutokana na uzembe wa Wamiliki na Madereva wa mabasi ya abiria.
-MILLARD AYO

1 comment:

  1. Hii sio ya Magufuli--ulikuwa mpango wa Prof Mwandosya wayback since the Mkapa's
    administration

    ReplyDelete

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako